Tuesday, January 24, 2012

ALLY REHMTULLAH ATISHA KATIKA UBUNIFU WA MAVAZI


Ubunifu wa mavazi ni miongoni mwa fani inayozidi kukua siku hadi siku duniani pote kutokana na maendeleo katika uvaaji wa mitindo mbali mbali kulingana na eneo na tukio.

Ally Aurora.com liliweza kupata nafasi ya kumtembelea nyumbani kwake jijini Dar es Salaam, Ally Rehmtullah na kuzungumza nae machache na kuelezea alipoanzia na matarajio yake ya baadae katika fani hiyo ya mitindo.
Anaanza kwa kusema “Ili ufanikiwe katika suala la ubunifu wa mitindo unahitaji kulifahamu vizuri umbo la kike, mitindo na mavazi ya wanawake ambayo ndiyo inakupa changamoto mbunifu wa mitindo kufikiria na kubuni mitindo mipya ambayo inawavutia wanawake wengi zaidi ili wanunue nguo zao,” anasema Ally Rehmtullah.

Kijana huyu ambaye ni Mtanzania mwenye asili ya kihindi alilejea nchini mwaka 2006, baada ya kuhitimu shahada yake ya ubunifu wa mitindo katika chuo cha Lehigh, Pessivania nchini Marekani na kushiriki katika onyesho la Lady in Red lililoandaliwa na Asia Idarus asia Idarous lililofanyika January 2007.



Onyesho hilo lilimfanya Ally akatambulika na kuoneka kama mbunifu chipukizia ila si kama alivyo kwa sasa ambapo ukitamka jina lake hakuna aiyemfahamu.

Mbunifu huyu kwa tabia ni mcheshi na hupenda kubadirisha mawazo na watu mbali mbali na pia malengo yake makubwa ni kufanya kazi kwa bidii.

Mpaka sasa ameweza kufanya maonyesho mbali mbali likiwemo la Red in Red, Prison Break, Temptation, Delectables, Swahili Fashion Week, Rafda pamoja na nchi jirani ya Rwanda na Uganda ikiwemo na nchini Marekani.
“Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kunisaidia popote ninapokwenda huwa nakubalika na watu wanayapenda mavazi yangu,” anasema Ally Rehmtullah.

Alianza kuwika mwaka Oktoba 2006, pale alipobuni vazi la warembo walioshiriki wa miss Tanzania.
Akielezea matatizo wanayokumbana nayo anasema, “Tatizo kubwa linalotuangusha ni suala la ukosefu wa viwanda vya kutengeneza vitambaa,”.
“Ningeiomba serikali itafute wawekezaji waweze kuwekeza kwenye suala la viwanda vya kutengeneza vitambaa ili kutupunguzia gharama nadhani hata nguo tunazobuni na kushona tutaziuza kwa bei nafuu,” anasema Ally.

Pia suala lingine linalowaangusha katika maonyesho yao ni kukosa wadhamini ambao watatufanya kazi tunatoifanya isogee mbele kuliko kutumia hela ndogo tulizo nazo,” anasema.

Nilipomuuliza ni kitu gani alijifunza alipokuwa kwenye maonyesho yalifanyika nchini Marekani,” anasema “Kiukweli wenzetu wameelimika sana hasa kwenye suala la ubunifu wa mavazi maana hauwezi kuleta mavazi yao huku kwa kuwa utamaduni wa nchi yetu ni tofauti na wa nchi yetu,”

Akielezea matatizo wanayokumbana nayo anasema, “Tatizo kubwa linalotuangusha ni suala la ukosefu wa viwanda vya kutengeneza vitambaa,”.
“Ningeiomba serikali itafute wawekezaji waweze kuwekeza kwenye suala la viwanda vya kutengeneza vitambaa ili kutupunguzia gharama nadhani hata nguo tunazobuni na kushona tutaziuza kwa bei nafuu,” anasema Ally.
Aliongezea kuwa, “Wao wanamavazi mazuri ila kwenye suala la heshima hakuna katika kuvaa, mtu anaweza kuvaa kinguo cha ovyo ambacho kwa kweli kwetu unaweza kupigwa mawe na kuzomewa,”

Pia alisema kuwa anakumbuka alipokuwa amekwenda Zanzibar kufanya fashion show alipata changamoto kidogo “Kuna baadhi ya nguo walipokagua hawakutaka nizifanyie onyesho maana viongozi hao walisema haziendani na tamaduni zao,”.

Kijana huyu anayependelea kuvaa Jean na T-shirt anasema, “Anasema anamshukuru sana wanamitindo wenzake kwa kumpa sapoti ya kutosha katika kazi zake.

Nilipomuuliza suala la soko lao, anasema “Soko la bidhaa zetu lipo hapa hapa nchini na huwa tunalitangaza kwa kufanya fashion show mbali mbali. 






Saturday, January 21, 2012

SWAHILI FASHION WEEK 2011-2012


Swahili Fashion Week is a fast growing platform for fashion and accessory designers from Swahili speaking countries and the African continent to showcase their talent, market their creativity and network with clientele and the international fashion industry. This is all aimed at emphasizing to the region that fashion is an income generating creative industry, meanwhile promoting a "Made in Africa" concept.
Swahili Fashion Week is a platform founded and created by celebrated Tanzanian couturier, Mustafa Hassanali in year 2008. Now in its Fourth year, it has become the biggest annual fashion event in the whole of East and Central Africa.


Swahili Fashion Week, East and Central Africa largest fashion event, now in its Fourth year, will be held at The National Museum on the 10th, 11th and 12th in Dar Es Salaam, Tanzania, and will close the fashion week this year in Zanzibar on 13th Nov 2011.
Swahili Fashion Week 2011 will collectively bring together 50 fashion and accessories designers from Swahili speaking countries and beyond to showcase their creativity and forecast future fashion trends for the region.

 As  any other fashionista I had my most  favourite people  in  the  swahili  fashion  week  xo here iz a least  of them.

DOREEN ESTAZIA WITH HER LABEL ESKADO BIRD

For Eskado Bird, also known as Doreen Estazia, fashion began at an early age. She evolved from being her mother’s boutique’s shop assistant at the age of three to being her friends’ stylist, personal shopper and designer.
Even after finishing college with a MA Hons in Multimedia and opening her own digital studio, she still pursued fashion on the side. For her second showcase in Dar Fashion Festival launch, she teamed up with poet Kennedy Mathias for a revolutionary and conceptual 8-piece representation of life from a woman’s perspective.
She is inspired by surrealist art and she designs for a unique clientele of sexy, sleek women who are not afraid to be the center of attention.
She  introduced the collection WHAT'S YOUR FREEDOM  which is the concept of been free during the Tanzanian independence festival.

WHAT'S YOUR FREEDOM COLLECTION










                     SHE IS EXCLUSIVE IN HER OWN  NEW STYLE  AND  SENSE




EVELYN RUGAMALIRA WITH HER LABEL  EVE COLLECTIONS
Miss Evelyn Rugemalira was an Operations Manager for a family-owned business is Dar Es Salaam when she opened a clothing fashion label called Eve Collections after an inspiring trip to Nigeria.
Eve Collections features pieces of luxurious fabrics of Ankara, fused with a wide range of high quality of linen, cotton, chiffon, raw silks together with sequined beads. Eve Collections caters for the needs of creative, risk-taking women who share the same desire for sensuous, feminine fabrics in fresh, luscious colors.
Eve Collections does not just design but also pays attention to detail and works with the client for ultimate customer satisfaction.

EVE'S COLLECTION  COLLECTION











NOTICE THE FINE BEAUTIFUL CUTS AND TAILORING

POOJA JESHANG

After serving as London’s Matthew Williamson’s intern, Pooja Jeshang had enough unique expertise to be included in the Top 8 Emerging Designers in Swahili Fashion Week 2010.
In this year’s Swahili Fashion Week, she plans on showcasing her collection Jambo Afrika S/S RTW and launching her fashion line: Saffron.

POOJA JESHANG AND HER BRAND SAFFRON.












ZAMDA WITH HER LABEL ZAIDI AFRIKA



Zamda was discovered by Redds Africa through its Redds African Fashion Designing Awards in 2006, when she represented Tanzania in the Novice Designer category.
In 2008, she launched the Zaidi Africa label, whose name stems from her desire to always want more and habit of not expecting less from herself.
Zaidi Africa is based in Dar Es Salaam and produces clothes that range from customized pieces to ready to wear with African finishing touches. Its clients are ladies who love to flaunt their beauty.

ZAIDI AFRIKA COLLECTION











                                BEAUTY FINE CUTS THAT IS ZAMDA'S STYLE

MANJU MSITA WITH HIS LABEL SMART AFRICA

Manju Msita, a persevering artist who started off in graphic designing before criss-crossing the world as a musician in the mid to late 1980s, fell and stayed in love with fashion designing since his first stint in the year 2000.
He considers himself an employee of his company Smart Afrika where his 16 person team works efficiently to turn sketches through stitches into dresses.
His name has become somewhat synonymous with Afro design, thanks to his sustained efforts that have seen him perfect stunning pieces with African taste for Kitchen party, Send Off and Wedding as a niche beside his distinctive casual attires. His designs have not only graced the catwalks of Tanzania, but also of UK, Australia, Canada, USA, Finland, Sweden and other parts of Africa

SMART AFRIKA COLECTION













I just could not leave those upcoming designers aside they take my heart away



Although Rehema Chachage is a trained and practicing new media artist; she has had lifelong interest in fashion.
The Emerging Designers Competition offers a platform for her very first appearance in the fashion industry.
Her dream for the future is to find a balance between her art and her fashion.



Mtani Nyamakababi is a young designer who was born in Musoma, Tanzania and is currently still in high school.
His passion for design started when he was still in primary school but he began serious sketching and design after his Ordinary Level finals. After entering high school, he immersed himself into the fashion industry by showcasing his designs in different events such as the Barazani Fashion Show which was organized by Alliance Francaise in Dar Es Salaam.
He is attending Swahili Fashion Week as part of the Emerging Designers Competition.



We are absolutely ecstatic about the Swahili Fashion Week and honored to have been chosen as finalists in the emerging designers category. We are looking to raise awareness and create a platform for our eponymous label Dina Martin.
Our designs are meant to be worn by anyone that considers themselves to be an elegant, confident and charismatic individual with an artistic side who enjoys and understands good fabric, tailoring and pays attention to detail – ideal for any socialite or would-be socialite.

DINA MARTIN SHOWCASE COLLECTION


SWAHILI FASHION WEEK 2011  WAS A   HIT LETS WATCHOUT FOR SWAHILI FASHION WEEK 2012